Friday, August 12, 2016

MKONO WA BWANA LYRICS AND TRANSLATION BY MERCY MASIKA


oh,
wu wu wu wu wu wu wu wu wu
la la la la la la la la  la la la
umeomba sana - ah
umehangaika sana
umengoja sana, ila majibu uoni
nyuma mbele,kwa marafiki utoshi

usife moyo Mungu hayuko busy
ana mpango mwema juu yako X 2

[refrain]
hakika mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia
mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia

ahadi zake ni kweli
njia zake sio kama mwanadamu
akili zake ziko juu,
hatufikii sisi wanadamu
tulia, tulia na baba

[refrain]
tusife moyo Mungu hayuko busy
ana mpango mwema juu yetu X 2
hakika mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia
mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia

aleluya ni mwaminifu

[refrain]
hakika mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia
mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia
mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia
mkono wa bwana si mfupi
wala sikio lake si nzito kusikia

TRANSLATION

oh,
wu wu wu wu wu wu wu wu wu
la la la la la la la la  la la la
umeomba sana - ah
(you have prayed alot)
umehangaika sana
(you have sufferred alot)
umengoja sana, ila majibu uoni
(you have waited but no answer)
nyuma mbele,kwa marafiki utoshi
(you are not worthy before friends)

[refrain]
usife moyo Mungu hayuko busy
(don't give up God is never busy)
ana mpango mwema juu yako X 2
(He has good plans for you)

hakika mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)
mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)

ahadi zake ni kweli
(His promises are true)
njia zake sio kama mwanadamu
(His ways are not similar to mankind)
akili zake ziko juu,
(He is smart in mind)
hatufikii sisi wanadamu
(far from mankind)
tulia, tulia na baba
(relax in God)

[refrain]
usife moyo Mungu hayuko busy
(don't give up God is never busy)
ana mpango mwema juu yako X 2
(He has good plans for you)

hakika mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)
mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)

aleluya ni mwaminifu
(halleluyah He is faithful)

[refrain]
hakika mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)
mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)
mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)
mkono wa bwana si mfupi
(for Gods has isn't short )
wala sikio lake si nzito kusikia
(nor His ears deaf to hear)

1 comment:

Unknown said...

Hakika mkono wa Bwana si mfupi.
Wimbo mtamu