Monday, August 1, 2016

NICHEZE LYRICS BY MR.SEED



Si eti kama nimelewa ,au nimepangawa
lakini roho akitembea ,yote sawa .
nakumbuka sana daudi ni kama jana,
alicheza sawa sawa ,lalalalaa,
huenda ikawa sarakasi na vituko mwenzangu,
vitu upendavyo,la la la la ,naomba unielewe,ninavyokueleza,
naomba unielewe hii ngoma ni yetu lazima tucheze,

wacha nicheze,
wacha mi nicheze,
mi nicheze,wacha mi nicheze,
kama daudi alicheza mbona me nisicheze,
(nisicheze)
kama daudi alicheza mbona me nisicheze,
(nisicheze)
mi nicheze,wacha mi nicheze,
mi nicheze,wacha mi nicheze,
kama daudi alicheza mbona me nisicheze,
(nisicheze)
kama daudi alicheza mbona me nisicheze,
(nisicheze)

sitacheza shoki,sitacheza na shakiti*




No comments: