Wednesday, February 22, 2017

KUMBE LYRICS BY MR.SEED AND BAHATI


kumbe kumbe ,kumbe kumbe
kwa yesu ni raha
kumbe kumbe ,kumbe kumbe
kwa yesu ni raha

kumbe kumbe ,ni raha
kumbe kumbe . ni raha

wacha niwashow oh
kwa yesu ni raha ah oh
namwita papa God oh
niliokoka wakacheka oh oh
wakanipa week sasa ni more oh
nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma,kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa
nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma,kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa

kumbe kumbe ,kumbe kumbe
kwa yesu ni raha
kumbe kumbe ,kumbe kumbe
kwa yesu ni raha

kumbe kumbe ,ni raha
kumbe kumbe . ni raha

hakuna hangover
ila bila gharama
labda turuke kesha
au kulala salama ah
yesu asifiwe,hadi dar sallama
hapa tu ni baraka,hatutaki laana
sisi ni wachanga ndio ,
na tunataka raha ndio
tusiharibu mataya ndio
ju raha za shetani ni mashaka ndio
sisi ni wachanga ndio ,
na tunataka raha ndio
tusiharibu mataya ndio
ju raha za shetani ni mashaka ndio

nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma,kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa
nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma,kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa

kumbe kumbe ,kumbe kumbe
kwa yesu ni raha
kumbe kumbe ,kumbe kumbe
kwa yesu ni raha

kumbe kumbe ,ni raha
kumbe kumbe . ni raha 

sisi ni wachanga ndio ,
na tunataka raha ndio
tusiharibu mataya ndio
ju raha za shetani ni mashaka ndio
sisi ni wachanga ndio ,
na tunataka raha ndio
tusiharibu mataya ndio
ju raha za shetani ni mashaka ndio

nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma,kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa
nilizaliwa huruma,
na place nimefika ni neema na huruma
sa ni huduma,kwa yesu kuna raha
nakatika nachuchumaa

kumbe kumbe ,kumbe kumbe
kwa yesu ni raha
kumbe kumbe ,kumbe kumbe
kwa yesu ni raha

kumbe kumbe ,ni raha
kumbe kumbe . ni raha

kwa yesu ni raha x2
kumbe kumbe ,ni raha

1 comment:

Unknown said...

...tusiharibu matarajio
Not,"tusiharibu mataya ndio