Wednesday, June 7, 2017

BARUA KWA MAMA LYRICS BY BAHATI X EDDY KENZO



Barua kwa mama ah
barua kwa mama
nisikize,ungepewa nafsi uwe mzima
singetaka uende,
ndoto zangu nyingi zilizimwa tangu siku uondoke
ungepewa nafsi uwe mzima
singetaka uende,
ndoto zangu nyingi zilizimwa tangu siku uondoke

ulitaka sana niende shule,
nikaokoe kijiji mama,
nikirudi home nisiwe yule
*
nakumbuka maneno mazito yako
ah vile vile,

ah barua kwa mama,
ifikie mama,
ah barua kwa mama
nitakukukmbuka sana
ah barua kwa mama,
ifikie mama,
ah barua kwa mama
nitakukukmbuka sana,mama

mama ,mama am coming to you
as you know mama we are coming from far
*but we kept on dreaming ,
and we never gave up
i told you mama i will make you proud of me
as you know mama,

ah barua kwa mama,
ifikie mama,
ah barua kwa mama
nitakukukmbuka sana
ah barua kwa mama,
ifikie mama,
ah barua kwa mama
nitakukukmbuka sana,mama


4 comments:

meshack said...

i love all song's by bahati

Unknown said...

The moment is see this song I always ask my self y me God wish my mum culd me alive to see how his daughter is missing her mama u were the best ever in this world.... Barua kwa mama ikufikie mama

Unknown said...

The moment is see this song I always ask my self y me God wish my mum culd me alive to see how his daughter is missing her mama u were the best ever in this world.... Barua kwa mama ikufikie mama

rover said...

I love and miss mama....n way I live in such exclusively love of you mama.......





I miss and love mum.....
Barua na ikufike mama