Tuesday, August 30, 2016

MATENDO LYRICS BY EVERLYN WANJIRU



matendo yako,yanatisha,
matendo yako baba ,yanatisha,
yanatisha ,tisha ,baba we,

(chorus)
matendo yako,yanatisha,x4

verse 1
nimesikia habari zako,
nashuhudia kazi zako,
yale umetenda,yote umesema,
ni ishara kwamba wewe ni mungu,

(chorus)

verse 2
ajira yako ni kamili,kazi yako inadumu,
hauchelewi baba ,tunapokuhitaji,
oh upo wakati wote,

(chorus)

nasema ukisema ndio,hakuna wa kupiga,
ni ndio na amina,oh jehove we baba,

(chorus)

verse 4
nasema (eh eh eh eh eh)
unanishangaza baba,(eh eh eh eh eh)
hakuna kama wewe,(eh eh eh eh eh)
unainua baba, (eh eh eh eh eh)
we unabariki wewe ,(eh eh eh eh eh)
ona waketishwa na wafalme (eh eh eh eh eh)
matendo yako yanatisha (eh eh eh eh eh)
nashangazwa na mambo yako,(eh eh eh eh eh)

1 comment:

Anonymous said...

https://youtu.be/EVEZZn3-3m8