Wednesday, May 3, 2017

TWAKUSIFU LYRICS BY RUTH WAMUYU


Twakusifu
Twakusifu
Twakusifu mungu mwenye nguvu
hauna mwanzo, wala mwisho,
Mungu wetu usifiwe (x2)

Sifa ni kwako (pokea, Pokea),
na utukufu wote (pokea, Pokea),
sifa nikwako (pokea, Pokea),
(pokea, Pokea)
sifa ni kwako (pokea, Pokea),
nayo heshima (pokea, Pokea)
pokea, pokea, pokea , pokea
sifa nikwako (pokea, Pokea),

Wamilele wamilele mungu wa baraka ni nani eh
wamilele eh eh, eh eh ni Yesu x4

Yeye ni wa uzima ah
wamilele milele milele x6

Baninga to yembela Yesu oyo Christu masiya azali na bomoyi
Bilengi ya nzambe oyo, Eleki ya mokili eh eh
Makasi ya yesu oyo, eleki ya bango nyoso oh oh
Nani mokonzi? yesu!
Elombe na bitumba?  Mokonzi !
Nkonsi na yuda ? Yesu !
Nzenga mabu !
Tobeti maboko, to beti milolo, to tomboli monene nayo Nkolo !

Yesu ni wangu, ni wa uzima wa milele eh
wa milele eh eh, eh eh Ni Yesu
Mungu wa zamani kila matendo, yako ni mupya kila siku
wa milele eh eh, eh eh Ni Yesu
Ana nitunza ni wa uzimawa milele eh
wa milele eh eh, eh eh Ni Yesu
Una badiri maisha ya watu, ila wewe, awubadiriki kamwe
wa milele eh eh, eh eh Ni Yesu
Yeye ni wa uzima ah ah
wamilele milele milele (x5)

6 comments:

Unknown said...

it's awesome

Anonymous said...

Awesome

Unknown said...

Enter your comment...sooo powerful,I really like it

Unknown said...

A very powerful song God bless you.

Unknown said...

Wonderful

Anonymous said...

Awesome