Wednesday, August 21, 2024

HERI TAIFA LYRICS BY ISRAEL MBONYI


Verse :
Nikasikia sauti nyikani 
Tengenezeni njiya yake, 
nyosheni mapito yake 

Sogeleeni kiti cha neema 
Mpate utakaso 
Oh what a blessing 
Oh what a grace 

Heri aoshae (afuae),
Kanzu yake ndani ya damu 
Akiliamini neno alilo ambiwa nae 
Atakua kama Mti kando ya maji 
Majani yake huyo, 
Yatakua ma bichi daima.

Chorus : 
   Heri walio na hilo agano 
   Wanaye Mungu Kama mwokozi wao
   Watasitawi nyumbani mwake 
   Hao wataitwa wana wa upendo.
   Tutasitawi nyumbani mwake 
   Sisi, tutaitwa wana waupendo
 
Verse : 
   moyo wangu, Sifu mungu 
   sifu mungu sifu mungu
 
- Nuru ilikuangaziya We Uliye mpole, 
   Utairithi inchi, Utafarijiwa 
- Nuru ilikuangaziya mwenye moyo safi Utabarikiwa, Utamuona mungu 

Bridge :  
Heri taifa ambalo Bwana ni mungu wao,
Ni wana wa upendo 
Aliyo wachagulia, kuwa urithi wake.

No comments: