Wednesday, August 7, 2024

NAWEZAJE KUNYAMAZA LYRICS BY DR. IPYANA


Sijaona namna hii
Eeeh namna hii, sijaona namna hii
 
 
Nawezaje kunyamaza?
Wakati Umefanya
Eeh namna hii, sijaona namna hii
 
Nawezaje kutulia?
Wakati Umefanya
Eeh namna hii, sijaona namna hii
 
 
Mataifa yatetemeka
Kwa Matendo Yako MAKUBWA
Aiyeee! Namna hii?
Sijaona namna hii
 
 
Dunia inashangazwa
Kwa Matendo Yako MAKUBWA
We’ YESU, namna hii?
Sijaona namna hii
 
 
Nawezaje kunyamaza?
Wakati Umefanya
Eeeh namna hii?
Sijaona  namna hii
 
 
Nawezaje kutulia?
Wakati Umefanya
Eeeh namna hii?
Sijaona namna hii
 
 
 
 
Nawezaje kunyamaza?
Wakati Umefanya
Haiwee! namna hii?
Sijaona namna hii
 
 
Nawezaje kutulia?
Wakati Umefanya
Haiwee! namna hii?
Sijaona namna hii
 
 
Nawezaje kunyamaza?
Wakati Umefanya
We’ YESU namna hii?
Sijaona namna hii
 
 
Nawezaje kutulia?
Wakati Umefanya
We’  YESU! namna hii?
Sijaona namna hii
 
 
 We’ YESU! namna hii?
Sijaona namna hii
 
 
Haiwee! namna hii,
Sijaona namna hii
 
 
Eeh namna hii?
Sijaona namna hii

1 comment:

Anonymous said...

glo,rious