Wednesday, August 21, 2024

WENGINE WANATAJA LYRICS BY MOSES B


Kwakua Bwana ni furaha yangu 
Tena Bwana ni nguvu zangu 
Nitahimidi jina lake
Sifa zake zi kinywani mwangu 
Siku zote za maisha yangu 
Nitahimidi jina lakee

Hatutanyamaza
Hatutaona  Haya 
Tutahimidi jina lake
Haturudi nyuma
Yeye kiongozi wetu
Tutahimidi jina lake

Nainua mikono nakubariki 
Nainua sauti yangu nakutukuza
Nainua sauti 

Tazama Bwana ametamalaki 
Watu wote na tushangilie 
Na tulisifu jina lakee 
Ametenda mambo ya ajabu 
Ya kutisha na kutushangaza 
Na Tulisifu jina lakeeee

Nainua mikono nakubariki 
Nainua mikono utukufu ni wako tu 
Nainua sauti yangu nakutukuza
Nainua sauti 

Ni wewe x2 
Wastahili sifa 
Na utukufu wote 

Wengine wanataja magari 
Wengine wanataja farasi 
Wengine wanataja mali 
Sisi twalitaja jina lako 

Ni wewe x2 
Wastahili sifa 
Na utukufu wote 

Wengine wanataja magari 
Wengine wanataja farasi 
Wengine wanataja mali 
Sisi twalitaja jina lako 

Ni wewe Ni wewe

Wastahili sifa 
Na utukufu wote

No comments: