Showing posts with label SIFAELI MWABUKA. Show all posts
Showing posts with label SIFAELI MWABUKA. Show all posts

Saturday, January 23, 2021

UTUKUFU NI WAKO LYRICS BY SIFAELI MWABUKA


Acha mimi nikushukuru wewe Mungu
Uliyenitunza toka utoto wangu
Ukanichagua tumboni mwa mama
Umeniweka kwenye kusudi lako nisimame

Acha mimi nikushukuru wewe Mungu
Uliyenitunza toka utoto wangu
Ukanichagua tumboni mwa mama
Umeniweka kwenye kusudi lako nisimame

Mimi ni nani kwa yote uliyonitendea?
Nimekulipa nini kwa uhai huu nilio nao
Mimi ni nani kwa yote uliyonitendea?
Nimekulipa nini kwa uhai huu nilio nao

Niseme ni akili zangu baba sio kweli
Niseme ni elimu yangu baba sio kweli
Niseme ni uzuri wangu baba sio kweli
Niseme ni utajiri wangu baba sio kweli

Acha muangu nimiaku niseme
utishu nimiaku weudasuuaku nimiaku, weufaku weufakuuuakuuuakuasuuakuuuzuri wewe
Mimi or nani hata Naishi leo, utukufu nakurudishia wewe
Niliomba mke ukanipa Kutoka kwako, utukufu nakurudishia wewe
Maombi yangu ukajibu Mungu wangu, utukufu nakurudishia wewe
Niliomba kazi ukanipa kazi Nzuri, utukufu nakurudishia wewe
Ooh Mungu, ee Mungu wangu

Niende kwa nani nikuache wewe Mungu
hatua zangu zaongozwa na wewe
Maisha yangu yako mikononi mwako
Hata nipitie magumu najua Mungu yuko

Niende kwa nani nikuache wewe Mungu
Hatua zangu zaongozwa na wewe
Maisha yangu yako mikononi mwako
Hata nipitie magumu Najua Mungu Yuko

Jeuri yangu kwa Sababu Mungu unanipenda
Ujasiri wangu kwa Sababu Mungu unanilinda 
Jeuri yangu kwa Sababu Mungu unanipenda
Ujasiri wangu kwa Sababu Mungu unanilinda 

Niende kwa nani kama if wewe
Nimwite nani kama if wewe
Yote umefanya baba acha niseme baba Asante

Utukufu nakurudishia wewe
Nasema ni asante Mungu wangu, utukufu nakurudishia wewe
Mimi ni nani hata naishi leo, utukufu nakurudishia wewe
Niliomba mke ukanipa kutoka kwako, utukufu nakurudishia wewe
Maombi yangu ukajibu Mungu wangu, utukufu nakurudishia wewe
Niliomba kazi ukanipa kazi nzuri, utukufu nakurudishia wewe
Ooh Mungu, ee Mungu wangu

NINA HAJA NA WEWE LYRICS BY SIFAELI MWABUKA


Ni wengi wameniandama kila kona usiku na mchana 
Baba peke yangu mimi sitoweza
Mitego wameiweka kwenye njia zangu Yesu
Baba peke yangu mimi sitoweza

wengi wameniandama kila Kona Usiku na Mchana 
Baba peke yangu mimi sitoweza
Mitego wameiweka kwenye njia Zangu Yesu
Baba peke yangu mimi sitoweza

Wengine ni wa karibu yangu
Eeh Baba unisaidie 
Wengine ni wa Nyumbani Mwangu
We Baba unisaidie 
Wengine ni wa karibu yangu
Eeh Baba unisaidie 
Wengine or wa nyumbani mwangu
We baba unisaidie 

Vita si vyangu ni vyako baba pigana nao
Peke yangu mimi sitoweza
Watesi wangu baba wawe watesi wako shindana nao

Peke yangu mimi sitoweza

Nina haja Nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja Nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja Nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja Nawe, ndio maana niko hapa

Nina haja Nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja Nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa

TUNAYE MUNGU ANAYEJIBU LYRICS BY SIFAELI MWABUKA


Tunaye huyu Mungu tunaye
Tunaye anayejibu maombi yetu
Tunaye huyu Mungu tunaye
Tunaye anayejibu maombi yetu

Tunaye huyu Mungu tunaye
Tunaye anayejibu maombi yetu
Tunaye huyu Mungu tunaye
Tunaye anayejibu maombi yetu

Walijua tuna Mungu tulipopita kwenye majaribu
Hayo mawazo yao
Walisema tuna imani huyu malipo yatusonga 
sanao yao

tajuu mawazo tuna tuna
Hayani yao
Hayani yao mawazo imuku tuna yuku tuna 
huku tuna tuna tuna tuna tuna taiu yao mawazo 
tuna yuku tuna tuna tuna tuna tuna haijuu mawazo 
tuna tuna yao yao tuna tuna tuna tuna haywazo 
tuna tuna tuna tuna tuna tuna hauyu mawazoo sana 
Hayo mawazo yao

Hawakujua jaribu letu ni la kitambo kidogo
Mungu wetu ni mwema
Hawakujua Mungu wetu yeye hawahi wala kuchelewa
Ni yeye baba 

Waambie baba wajue wewe upo 
Waambie baba wajue unatupenda 
Waambie baba wajue wewe upo 
Waambie baba wajue unatupenda 

Tunaye huyu Mungu tunaye
Tunaye anayejibu maombi yetu
Tunaye huyu Mungu
Tunaye Tunaye anayejibaye hombaye

huyuaye Mungu
Tunaye yetibaye huyuaye Mungu
Tunaye Mungu
Tunaye Mungu yetu Tunaye 
Hombaye Mungu Tunaye Mungu 
Tunaye Mungu yetu anayejibu maombi yetu

Ayubu alipojaribiwa 
Watu wengi wakainuka wakasema ametenda dhambi
Ndugu na jamaa walipomwona Ayubu
Alipopitia mengi wakasema amemwacha Mungu

Ayubu alipojaribiwa 
Watu wengi wakainuka wakasema ametenda dhambi
Ndugu na jamaa walipomwona Ayubu
Alipopitia mengi wakasema amemwacha Mungu

Mke wake naya akasema kufuru Mungu LEU Ayubu
Ndugu na jamaa nao wakainuka na kusema
Ayubu umetenda dhambi

Mke wake naya akasema kufuru Mungu ufe Mungu wangu
Ndugu na jamaa nao wakainuka na kusema
Ayubu umetenda dhambi

Ayubu akanyamaza kimya
Akamwacha bwana asimame amtetee mwenyewe
Ayubu alijua yupo Mungu
Anayempitisha hayo ili kumwongezea imani
Ayubu akanyamaza na kusema
Labda Mungu ashuke aseme mwenyewe
Mungu nayemwamini

Tunaye huyu Mungu Tunaye
Tunaye anayejibu Maombi yetu
Tunaye huyu Mungu Tunaye
Tunaye anayejibu Maombi yetu

Tunaye huyu Mungu Tunaye
Tunaye anayejibu maombi yetu
Tunaye huyu Mungu tunaye
Tunaye anayejibu maombi yetu