Monday, June 15, 2015

LOVER LYRICS BY BAHATI



Kama Ni Mapenzi nilishatafuta sana,
Kama ni kutosa nilishatosa kwa bana,
Kama Ni mapenzi nilishatafuta sana,
*omugwane wanje, songa wachinyimba  ***

Ungekua nyimbo ningekucheza sana,
Ungekuwa zeze ningekucheza bana,
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,bana,sana

 [refrain]
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
You my lover , yeh, lover yeh ie ie.
l.o.v

Ungekua nyimbo ningekucheza sana,
Ungekuwa zeze ningekucheza bana,
Ungekua nyimbo ningekucheza sana,bana,sana 

[Refrain]


Umekuwa baba kwangu [l.o.v]
Roho mtakatifu, [l.o.v]
Nautanashati   ukanipa kimwana
Nayo mashairi ndani yangu ukajaza.


Umekuwa baba kwangu , [l.o.v]
Roho mtakatifu, [l.o.v]Yote pokea sifa moyoni umefanya,
Maulana si kawaida kenya wakanidata,
Yote pokea sifa moyoni umefanya,
Najua Africa Mtoto wa  mama atasikika.




No comments: