Monday, October 26, 2015

TUNAKUABUDU BWANA BY JOHN LISU

(refrain)
(Tunakuabudu, bwana aaa
Tunakuabudu, mwenye uweza
Tunakuabudu ,bwana
Hakuna kama wewe ,bwana)x4
Verse1
Matendo yako kwangu ni ya milele
Wewe wastahili, heshima dhamana nguvu
Uweza wako ,washangaza mataifa yote ,
wewe ni mungu mkuu,
Wastahili heshima ,
(Refrain)
Tunakuinua



(Halleluya)x10
Wewe ni bwana
(refrain)

Hakuna kama wewe
Tengemeo letu
Wastahili kusifiwa
Umetenda
Uweza wako ni wa milele
(hakuna kama wewe bwana)

No comments: