Wednesday, June 5, 2024

YANITOSHA LYRICS BY ISRAEL MBONYI


Chorus :
Yanitosha neema ya mungu
Ndio uzima kuyatambuwa
Kwenye mapungufu yangu 
Ndipo nguvu zake Zatiimiya.

Verse : 
Nimesulubiwa nae, lakini mi niko hai; 
Si mimi tena, Kristo ndani yangu
Nitajisifia udhaifu wangu, kwa furaha nyingi 
Ili uweza wake ukae juu yangu

Yote nitendayo ni kwa imani, 
Sitaibatili neema ya Mungu 
kamwe

Bridge : 
 Sio mimi Tena , Christo Ndani yangu 
  Hayo Yanitosha.

No comments: