Saturday, July 23, 2016

BACK AGAIN LYRICS BY PASTOR RHYMES FT KELELE TAKATIFU

Mmmh   Pastor Rhymes
Kelele Takakade-
Hallee-hallelujah
Eih He’s coming back again
Hallee-hallelujah, Eih nipe moyo safi
Oh oh nai nai nai, oh nai nai nai nai
Nipe moyo safi
Oh oh nai nai nai, oh nai nai nai nai (Teddy B)

{Verse One}
Napenda Yesu na hio sio siri
Amenitoa fayani uko Misiri
Walidhani nitarudi nyma misiri
lakini Yesu wewe umenisitiri
Nchini wazi wazi tunahubiri
kwa vijiti hata na kwa **masiri
Upendo wangu na Yesu sio wa siri
minajua nitamwona one day
kila kitu iwe swari
kila goti litapiga some day
bila kuuliza swali
minajua nitamwona one day
kila goti litapiga some day

{Chorus}
He’s coming back again, Halee-halellujah

He’s  coming back again, Halee-halellujah

Eiiih nipe moyo safi

oh oh nai nai nai, oh nai nai nai nai

Eiih nipe moyo safi

oh oh nai nai nai, oh nai nai nai nai X2

Verse Two}
maisha bila Yesu ni calamity
ata afadhali kufungwa kamiti
aiih kanisani ni macommetee
na ya muhimu hakuna mikakati
oh nana, juu mimi na yeye
mbinguni tutaonana nimepata nafuu
nimeshaponana, nimechorea dhambi zangu jo jana
ohyaya
unarudi tena hio mimi niko sure
mi nitakugoja iwe mvua ama jua
juu umeniwezesha mi kupiga hatua
tunaenda nawe hio niko sure.

(chorus)

{Verse Three}
Nimeokoka long time
it’s been a long time coming
nicheki nikimsifu
mi naruka kama nyani
Saito simtambui yeye ni nani
kusudi naingiza he’s coming aiiiih
so aiiih, siachi Yesu no aiiih
zaidi go yai aiiih
yo mama yo mama yoh mamaiiii

{Bridge}
Damu ya Yesu ilimwangika kaivali
Damu ya Yesu kaning’arisha niko tayari X2


{Chorus}

No comments: