Saturday, February 6, 2016

ITAKUWA SAWA LYRICS BY BAHATI

verse 1
Nilipotenganishwa tu na mama,
niliingia kwa mtaa kutafuta butter,
masela walinata,
huku na kule tumaini la kupata,
nisije na uchungu,
mito mikubwa milima nilivuka,
natumaini tu kwa mungu,
awape nguvu nyumbani niliowacha,

nikaamua niende mbali,
ii mbali na nyumbani,
nikamua niende mbali,
ili kusaka ugali,
nikaamua niende mbali,
nikaamua niende mbali,
mbali na,

(chorus)

itakuwa sawa
kwa hivi waeleze nyanya na babu
itakuwa sawa,
shangazi mwambie hasife moyo,
itakuwa sawa x2

verse 2
na hivi msichoke ,
kukopa dukani paendapo pangumu
hivi mniombee,
maisha mjini bado ni sugu x2

naelewa na uchungu uliowabana,
naelewa si rahisi kupambana ,
naelewa na majozi yamewakumba,
mama baba,
naelewa na uchungu uliowabana,
si rahisi kupambana ,
naamini tukimwamini rabana,
yote

(chorus )

verse 3
napita mengi na si utani,
wambie eh
sijadanganywa na burundani ,
wambie eh
x2

(Chorus)

mweleze na nyanya,
mweleze mjomba,,(itakuwa sawa)
mweleze masela 
musyoki wa benga,(itakuwa sawa)
mweleze susana,,(itakuwa sawa)

na hivi msichoke.











No comments: