Wednesday, February 17, 2016

MAVUNO LYRICS BY MIREILLE BASIRWA AND CHRISTINA SHUSHO


Ingawa mtu aenda zake ,akilia,
amechukuapo mbengu,za kupanda,
hakika atarudi ,kwa kelele za furaha,


apandaye haba atavuna haba,
apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu,
jipandie katika haki,
utavuna kwa fadhili,

umetumika kwa machozi,
umepanda mbengu kwa kulia,
husichoke ndugu,
bwana yesu yuko nawe,
jipe moyo wo wo wo ,
asubuhi imefika,

( chorus )
huu ni mwaka wa mavunox4

(shusho)
mwenye kuangalia upepo ,atapanda,
naye atazamaye mawingu,atavuna,
jipe moyo mpendwa,
asubuhi imefika ,msidanganyike,
mungu wetu hadhihakiwi ,
chochote apandaye mtu,atavuna,
ukipanda dhuluma,utavuna uovu,
ukipanda mema utavuna mema,
chochote upandacho,ndicho utavuna,

umetumika kwa matusi ,
umepanda mbengu kwa kulia,
husichoke mpendwa,
utavuna kwa wakati wako,

( chorus )

No comments: