Wednesday, February 17, 2016

NIFUNZE LYRICS BY JANET OTIENO

Verse1
Funzo la upendo wako ,
hakuna Yule anayeweza kunifunza,
Funzo la upendo wako ,oh oh
Funzo la upako wako,
hakuna Yule anayeweza kunifunza,
Funzo la upako wako,oh oh,
Nimesoma vitabuni ,
na walimu kanifunza lakini sielewi,
marafiki wahubiri na wazazi kanifunza na mimi sielewi,
nimefanya utafiti,
nikatumia mapeni na bado sielewi,
roho wako pekee,
anayeweza kunifunza na mimi nielewe,
oh nataka nikujue,
nijue sauti yako,
na yale yote unapenda ah,
nataka nikujue na niguse uso wako,
na nione ukitenda ah,

(refrain)
nifunze ,nifunze ,
niweze kusema na kutenda,
nitakayofanya  utabasamu,
nifunze ,nifunze ,
niwezeshe kukupenda ,
nataka nione ukitabasamu,x2
verse 2
Afrika mashariki,magharibi ,
kusini kaskazini kila mtu,
ata uchina ujerumani na urusi,
marekani na dunia nzima tukujue,
({ni ombi letu baba x3}
tukujue)x2

(refrain)x2

Ti ti ti
Ti ti ti ti ti ti x2

(refrain)x3

No comments: