Monday, October 3, 2016

ANATIMIZA LYRICS BY KAMBUA


Mungu wa ibrahim ,ni mungu wetu leo,
mungu wa daniel ,ni mungu wetu pia
habadiliki,hafananishwi,
mungu wa isaka,anatimiza ahadi.

timiza ahadi,anatimiza ahadi,x2
mungu mwaminifu ,habadiliki kamwe,
yeye atatimiza,x2

wakati wake mungu,si kama binadamu,
na njia zake mungu,ni njia kamilifu,
alivyoahidi baba atatenda
alivyoahidi baba atatenda

timiza ahadi,anatimiza ahadi,x2
mungu mwaminifu ,habadiliki kamwe,
yeye atatimiza,x2



No comments: