Wednesday, January 31, 2024

TENDA LYRICS WITH TRANSLATION BY PATRICK KUBUYA


Mda wako ni huu Bwana
(This is your time Lord)
Shuka na nguvu, shuka
(let your mighty come )
Watu wako tunangojea 
(we are eagerly waiting )
Shuka na nguvu, Shuka 
(let your mighty come )

Tusirudi jinsi tulivyo Kuja 
(Not to go back unchanged)
Mkono wako utende tutambue uko hapa
(lets notice your presence mightly)
Alama za uwepo wako
(your presence to be noticeble)
Zionekane ijulikane ya kwamba
(to be seen and known)
Eh Bwana uko na sisi
(lord you are with us)

Tenda oh oh oh tenda
(do something Lord)
Ujifunue hapa Yesu tenda
(avail yourself  and do something jesus)
Sema oh oh oh sema
(say something)
Utuongoze hapa Yesu sema
(lead us lord)

Tupe ushuhuda, tukupe jina mpya
(give us a new testimony)
Inayo fanana na jinsi umejifunua
(a name similar to your deeds)


Haya ni maombi mazuri kwa yule anae hitaji kuona mkono wa Bwana.
Ibrahimu alimuita Mungu Bwana anaetenda kwa maana hivyo ndivyo Mungu alivyo jifunua kwake
Musa alimuita Mungu Bwana fahari yangu kwa maana hiyvo ndivyo Mungu alivyo jifunua kwake
Na wewe, ambia Mungu ajifunue kwako ili umpe jina jipya kadiri na atakavyo jifunua kwako

No comments: