Showing posts with label ABEDY NGOSO. Show all posts
Showing posts with label ABEDY NGOSO. Show all posts
Sunday, July 17, 2016
SALAMA LYRICS BY ABEDDY NGOSO
salama ,salama
oh ni salama, kwake yesu ni salama x2
napiga magoti leo,
nikileta mahitaji yangu kwako,
baba nisikie na unijibu,
maana sina mwingine,
wa kwenda nimuombe anibariki ,
ila ni wewe nakuomba baba jibu mahitaji yangu,
salama ,salama
oh ni salama, kwake yesu ni salama x2
wewe ni jehovah shamah,
unaelewa mapito yetu na uzima wetu kila siku,
oh ,tumekuja baba kusema,
husichukue muda mrefu kutubariki na baraka zako,
ndio maana tunasema,
salama ,salama
oh ni salama, kwake yesu ni salama x2
Saturday, May 14, 2016
VIUMBE LYRICS BY ABEDDY NGOSSO
Ni wewe, baba yangu ,ni wewe ngome yangu x2
(viumbe vyote vinakuabudu baba )
ni wewe masiah,x2
(viumbe vyote vinakuheshimu we )
ni wewe masiah,x2
(tunainama tunainuka baba )
ni wewe ,ni wewe x2
(twanyenyekea tunatubu dhambi zetu)
ni wewe ,ni wewe
wee ndiye mwanzo mwisho,uliyekuwa na utakayekuweko,
(ni wewe baba yangu) ,ni wewe pekeako ,ngome yangu,
unayeponya roho yangu ,ni wewe baba yangu ,
ni wewe ngome yangu,
ni wewe eh ,(bwana)x2
oh oh (bwana),
mponyaji wangu (bwana)
mfariji wangu (bwana)
mkombozi wangu (bwana)
mlinzi wangu (bwana)
nasema mwamba wangu (bwana)
(viumbe vyote vinakuabudu wewe )
ni wewe wewe,
kama sio wewe ningekuwa wapi,
kama sio wewe ningefanya nini ,
ni wewe baba yangu ,ni wewe pekeako ,
ni wewe ngome yangux2
(viumbe vyote vinakuabudu baba )
ni wewe masiah,x2
(viumbe vyote vinakuheshimu we )
ni wewe masiah,x2
(tunainama tunainuka baba )
ni wewe ,ni wewe x2
(twanyenyekea tunatubu dhambi zetu)
ni wewe ,ni wewe
uabudiwe milele yote
ni wewe ,ni wewe x2
(ni wewe baba yangu) ,ni wewe pekeako ,ngome yangu,
unayeponya roho yangu ,ni wewe baba yangu ,
ni wewe ngome yangu,
ni wewe eh ,(bwana)x2
oh oh (bwana),
mponyaji wangu (bwana)
mfariji wangu (bwana)
mkombozi wangu (bwana)
mlinzi wangu (bwana)
nasema mwamba wangu (bwana)
(viumbe vyote vinakuabudu wewe )
ni wewe wewe,
kama sio wewe ningekuwa wapi,
kama sio wewe ningefanya nini ,
ni wewe baba yangu ,ni wewe pekeako ,
ni wewe ngome yangux2
Friday, November 20, 2015
KIMBILIO LANGU LYRICS AND TRANSLATION BY ABEDY NGOSSO
(Refrain)
Kimbilio langu ni wewe pekeako,
(you are my only refuge)
Hili ni ombi langu mchana na usiku,
(this is my prayer day and night)
Naja mbele zako yesu nikumbuke,
(I come before you jesus ,remember me)
Nipe furaha moyoni,niseme umetenda,
(fill me with joy,to say you have done)
Verse1
Naja mbele zako baba,
(I come
before you father)
Nikumbuke hivi nilivyo,
(remember me)
fanya jambo ndani yangu, (do something in me)
lisilowezekana , (what
seems imposible)
(refrain)
Verse2
Kikombe hiki kizito, (the
heavy cup)
kinaumiza ,ata kama baba,
(is hurting,even if father)
ni kesho wewe haudanganyi,
(its tomorrow,you don’t lie)
Nimepitia mengi sana, (I
have gone through a lot)
yamekuwa mazito mno (which
was too heavy)
lakini leo,naja kwako , (but
today I come to you)
uyaondoe haya yote, (to
take all of away)
roho yangu imechoka, (my
heart is tired)
haiwezi kuendelea , (I
can’t continue)
ninachomba kutoka kwako,
(what I pray from you)
uyavute machozi yangu,
(is to wipe my tears)
Kimbilio langu ni wewe pekeako,
(you are my only refuge)
Hili ni ombi langu mchana na usiku,
(this is my prayer day and night)
Naja mbele zako yesu nikumbuke,
(I come before you jesus ,remember me)
Nipe furaha moyoni,(niseme umetenda x4)
(fill me with joy,to say you have done)
Monday, October 5, 2015
MIMI SIYAWEZI LYRICS BY SARAH K ABBEDY NGOSO
(Refrain)
{Sarah k.}
Yesu ndiye msaada wangu,
wa karibu, kwa yote ninayopitia,
maaana mimi ,siyawezi, haya
yote ,ni wewe ,uyawezaye
Verse1
{Abeddy ngosso}
Mungu wangu, nifungulie, milango ya mbinguni,
kwa yote ninayopitia, ni
wewe uyawezaye ,
shida zangu zimekuwa nyingi nakuitaji wewe ,baba
(Refrain)
Verse 2
{sarah k.}
Wewe ndiwe, ninaye bariki,
na tena, unaponya, mlinzi
mwema, utulindaye,
na wewe tu unafariji baba ,wewe ndiwe mti wa uzima,
milele twakuhitaji… baba.
(Refrain)
Verse3
Yesu wangu, nakuhitaji, njoo ndani ya moyo wangu, {abbedy ngosso}
unibariki,nifariji ,maana
nimevunjika,{both}
oo sina mwingine,aniwezaye
ila wewe, wanitosha{sarah k.}
Refrain)
Hakuna aliye kama yesu, maana yeye utenda
Ninakuinua(ni wewe uyawezaye)
Ni wewe waweza yote (ni wewe uyawezaye)
Ninakutukuza (ni wewe uyawezaye)
Ni wewe waweza yote..ni wewe baba
Subscribe to:
Posts (Atom)