Showing posts with label ANGEL BENARD. Show all posts
Showing posts with label ANGEL BENARD. Show all posts
Monday, August 12, 2019
I STILL BELIEVE LYRICS BY ANGEL BENARD
I see a better day ahead of me
I can see the light
(I can see the light)
Nainuka, nimeona nuru imenijia
Naiona siku njema mbele yangu
I can see the light
(I can see the light)
Am rising now, nuru imenijia
Ni kweli, kuna mambo yameumiza
Kuna vitu sijaona
Kuna majibu nasubiria
But I still believe
Kuna mambo yameumiza
Kuna vitu sijaona
Kuna majibu nasubiria
I still believe in you
I-I-I still believe
I still believe in you
I-I-I still believe
I still believe, be-li-eve
Kuna mambo yameumiza
Kuna vitu sijaona
Kuna majibu nasubiria
Bado nakuamini
Kuna mambo yameumiza
Kuna vitu sijaona
Kuna majibu nasubiria
I still believe in you
This is my confidence
Nikiita waitika, wasikia
I will be tall like a needle
Sipotezi, natulia
Kuna mambo yameumiza
Kuna vitu sijaona
Kuna majibu nasubiria
I still believe in you
Kuna mambo yameumiza
Kuna vitu sijaona
Kuna majibu nasubiria
I still believe in you
I-I-I still believe
Lord I still believe in you
I-I-I still believe
Nafuta machozi nakutazama
Kuna mambo yameumiza
Kuna vitu sijaona
Kuna majibu nasubiria
I still believe in you
Kuna mambo yameumiza
Kuna vitu sijaona
Kuna majibu nasubiria
Lord I still believe
Iyee, aah eeh, iyee, aah eeh
Iyee, aah eeh iyee
Iyee, aah eeh, iyee, aah eeh
Iyee, aah eeh iyee
Alilililili....
Kuna mambo yameumiza
Kuna vitu sijaona
Kuna majibu nasubiria
I still believe in you
Kuna mambo yameumiza
Kuna vitu sijaona
Kuna majibu nasubiria
But I know, you gonna do it
I-I-I still believe
Your promises are true, your promises are true
I-I-I still believe
You gonna do it, you gonna do it...
Monday, July 3, 2017
SITEKETEI LYRICS BY ANGEL BENARD
Mi siteketei,siangamii,
sigarikishwi uko nami,
Mi siteketei,siangamii,
sigarikishwi uko nami,
hupimwi kwa siku, hupimwi kwa mwaka,
unatafsiri majira,huzuiwi na muda,
umejawa na nguvu,ndio maana nakuita baba,
moyoni mwangu,najawa sifa,
na ujasiri katika wewe,
hakuna mlima wa kuniangusha,
ndani yako, ninasimama
Mi siteketei,siangamii,
singarikishwi uko nami,x2
nimezungukwa ,nawe kila pande,
hakuna jambo la kuniangamiza
majeshi yaliyo upande wangu,
ni mengi sana kuliko hawa wa dunia
hatua zangu ,zaongozwa nawe,
siangamii ,siteketei,katika wewe ,ninasimama
siteketei,na ninadumu,
Mi siteketei,siangamii,
sigarikishwi uko nami,x2
kwako bwana nasimama,ndiwe mwamba ni salama
kwako bwana nasimama,
we daily believe in you,
we shall stand firm forever,
Mi siteketei,siangamii,
sigarikishwi uko nami,x2
Tuesday, August 9, 2016
NI WEWE LYRICS BY ANGEL BENARD
Nimetoka mbali hadi hapa nilipo,
si kazi rahisi eh,si kazi rahisi,
nikitafakari hivi nilivyo,
haikuwa rahisi eh haikuwa rahisi,
pamoja na ungumu ,mungu ulinishikilia,
nisirudi nyuma oh eh,
si kuhofu nilidumu,huku ukinishikilia,
nisikate tamaa,eh ,mungu wewe.
wewe ,umekuwa ushindi wangu,
wewe umekuwa tumaini langu,
wewe umekuwa ushindi wangu,
wewe ,wewe,wewe,
ukatengua mitego,ukanifanyia wigo,
ukaondoa mapigo yangu yote,x2
pamoja na ungumu ,mungu ulinishikilia,
nisirudi nyuma oh eh,
si kuhofu nilidumu,huku ukinishikilia,
nisikate tamaa,eh ,mungu wewe.
wewe ,umekuwa ushindi wangu,
wewe umekuwa tumaini langu,
wewe umekuwa ushindi wangu,
wewe ,wewe,wewe,
Subscribe to:
Posts (Atom)