Showing posts with label CHRISTOPHER MWAHANGILA. Show all posts
Showing posts with label CHRISTOPHER MWAHANGILA. Show all posts

Saturday, January 23, 2021

MOYO FURAHI LYRICS BY CHRISTOPHER MWAHANGILA


Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea 

Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea moyo
Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea moyo
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea moyo
Peleka sifa zako kwa bwana

Kama asingekuwa ni Mungu
Tusingekuwa hapa tulipo
Kama asingekuwa ni Mungu
Tusingekuwa hii tulivyo
Kama asingekuwa ni Mungu
Tusingepata haya mazuri

Tuko hivi tulivyo
Kwa mkono wa Mungu
Tuko hivi tulivyo
Kwa msaada wa Mungu
Tuko hapa tulipo
Kwa mkono wa Mungu

Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea 

moyah furo
Moyo Mungu amekutendea a moyo
Moyo Mungi furahi, moyah furahi imba
Mungu amekutendea moyo
Moyo furahi, moyo furahi
Moyo furahi Mungu amekutendea moyo
Moyo imba, imba moyo imba
Mungu amekutendea Moyo
Peleka sifa zako kwa Bwana

Ooh haikuwa rahisi 
Kupita Katikati yao
Ooh haikuwa rahisi 
Kushinda yale Majaribu
Ooh haikuwa rahisi 
Kufaulu island mitihani

Kumbe Mungu yeye nor Ushindi wangu
Tena Mungu yeye mtetezi wangu
Kumbe Mungu yeye nor Ushindi wangu
Tena Mungu yeye mtetezi wangu

Amefanya njia mahali pasipopitika
Farasi na mpanda farasi wote wameangushwa

Moyo Furahi, Moyo Furahi
Moyo Furahi Mungu amekutendea
Moyo imba, imba Moyo imba
Mungu amekutendea 

Moyo Furahi, Moyo Furahi
Moyo Furahi Mungu amekutendea
Moyo imba, imba Moyo imba
Mungu amekutendea Moyo
Moyo Furahi, Moyo Furahi
Moyo Furahi Mungu amekutendea Moyo
Moyo imba, imba Moyo imba
Mungu amekutendea moyo
Peleka sifa zako kwa bwana

Monday, October 5, 2015

MUNGU NI MUNGU (GOD IS GOD) LYRICS BY CHRISTOPHER MWAHANGILA




Verse1
(Nabii Elijah, aliwaita manabii wote,
 wa mungu baali)x2
Lengo la elija,
 ilikuwa ni kumthibitisha mungu wa kweli ni yupi,
 kati ya mungu wa baali, na mungu wa mbinguni ,
(Elijah )x2, akawambia watu nikaribieni mimi
akachukua mawe kumi na mbili akaanza kujenga madhabau,
 akaweka kuni juu yake,
 akaweka sadaka juu yake,
akachimba mfereji ,
akawambia watu mwageni maji mapipa manne ,
wakamwaga maji mara ya kwanza ,
wakamwaga maji mara ya pili,
wakamwaga maji mara ya tatu ,
Elijah, akaanza kumuita mungu,
mungu wa mbinguni (we mungu )x2,
( mungu wa mbinguni naijulikane kuwa upo)x2
Moto ukashuka ,ukaramba ile sadaka,
ukaramba zile kuni ,ukaramba na yale mawe,
ukaramba na yale mavuno ,
ukaramba na yale maji ,watu wakasujudu,
 wakasema huyu ndiye mungu,
 anayepaswa kuabudiwa ,
ndiye mungu ninaye mwimbia mungu wa Elijah,


(Refrain)     
oooh mungu
( Mungu ni mungu tu,atabaki kuwa mungu tu)
Ooh mungu baba
Huyu mungu wa mbinguni jamani
Huyu mungu wa elijah
Maishani mwako mama yangu wee
Mahali pote unapotembea
Ata wainuke wamseme vibaya
Ata wamkatae mbele yako








Verse 2
Na wewe ndugu yangu,
 unayenisikia, unaye nitazama,
(unaona nini mbele yako)x2,
 pengine unaona  majaribu,
 haujui utafanya nini,
 we mkaribie mungu tu,
 pengine unaona magonjwa,
 haujui utapona lini we mkaribie mungu tu,
 pengine unaona vita kubwa,
 haujui utashinda vipi, we mkaribie mungu tu,
Pengine unaona watesi ,
haujui utapita vipi, we mkaribie mungu tu,
pengine ni jaribu katika ndoa yako,
haujui utashinda vipi,
 we mkaribie mungu tu ,
(hakuna linaloshidikana kwake mungu)x4

Aliyemshindia elijah ,
katikati manabii wa baali atakushindia
Na wewe …..
(Refrain)


Verse 3
Wanadamu wamekusemea maneno,
 kwamba hautaweza ,katika jaribu lako,
wanadamu wamekusemea maneno,
 kwamba hautashinda katika vita yako,
 kumbe( njia za mungu, sio sawa na za mwanadamu )x2
 mipango ya mungu ,sio sawa na ya mwanadamu,
 akili ya mungu, sio sawa na ya  mwanadamu
Maneno ya mungu, sio sawa na ya mwanadamu
Mawazo ya mungu, sio sawa na ya mwanadamu
Kazi ya mungu, sio sawa na ya mwanadamu
Sauti ya mungu ,sio sawa na ya mwanadamu
Aliye mshindia elijah ,
katikati ya manabii wa baali
atakushindia na wewe ……
(refrain)