Showing posts with label TANZANIA. Show all posts
Showing posts with label TANZANIA. Show all posts

Thursday, April 27, 2017

KITU GANI (REMIX) LYRICS AND TRANSLATION BY CHRISTINA SHUSHO


(Chorus)
Nishike mkono ,mungu wangu (hold my hand my God)
husiniache eh,bwana wangu  (don't leave me ,my lord) x4

kitu gani baba,(what is father?)
kinitenge na wewe,(to isolate me from you)
kitu gani yesu (what is it jesus?)
kinitoe kwa kwako (to take me away from you)
kama ni dhiki (if it is distress )
sikuja na kitu duniani (i came with nothing to the world)
kama ni uchi (if its nakedness)
nalizaliwa uchi (i was born naked)
kama ni njaa (if it is famine)
wengine wanakufa nayo (others are dying of it)

hakuna cha kunitenga nawe ,(nothing to isolate me from you)
tenga nawe eh yesu ( isolate me from you) x2


je ni nini kinitenge nawe (what is it to isolate me from you)
fahari za dunia(worldly riches)
zinitoe kwako  (to take me away from you)
je ni mali(is it properties)
zitanitenga nawe (will isolate me fro you)
je ni cheo ,heshima (is it the rank/position or honor)
vitanitoa kwako (will isolate me fro you)
magari ,ndege (is it cars or planes)
vitanitenga nawe (will isolate me fro you)

hakuna cha kunitenga nawe ,(nothing to isolate me from you)
tenga nawe eh yesu ( isolate me from you) x2

(Chorus)
Nishike mkono ,mungu wangu (hold my hand my God)
husiniache eh,bwana wangu  (don't leave me ,my lord) x4

hakuna cha kunitenga nawe ,(nothing to isolate me from you)
tenga nawe eh yesu ( isolate me from you) x6





Tuesday, April 4, 2017

UNIKUMBUSHE LYRICS BY BAHATI AND RAYVANNY


(Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe)x2
(nikumbushe eh
unikumbushe eh) x2


Leo nyota imeng'aa
nasahau nilikotoka
naidharau mitaa
na mateso niliyosota, aie
ndugu zangu kinyaa
mafukara wananichosha
niache wafe na njaa
nijisifu nitawanyosha eh


sili kwetu Kisumu bondo,
chakula haina swaga,
sitaki kula chapo dondo
nataka pizza na buger ehh,

uniepushe maulana nisiishie njiani,
unikumbushe ya jana, kesho nipe dhamani
kwenye maisha ya muziki, ukiwa na uendo utaishi
Timu hazijengi urafiki, tusije kuuana kwa kugombania viti
eti nimuache mama kwenye dhiki, kisa mambo yangu yametiki
akipiga simu siishiki, nikipokea nimwone kama shabiki

(Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe)x2
(nikumbushe eh
unikumbushe eh) x2

nimejawa na kiburi, ukweli haupo nami,
alionifunzage dini mama, simwiti mummy,
roho imejawa na uhuni, star najiona mi
nikipita na kagari vumbi , natupia wadhee
niwe kama peter, kumkana yesu mara tatu nikumbushe
niwe kama jonah, kukataa kutumwa nineveh nikumbushe
ah mwanabujah alionipa suporti, namtusi ilimradi iwe kiki
walionipa jina mashabiki leo, nawaona wanafiki

(Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe)x2
(nikumbushe eh
unikumbushe eh) x2

Monday, October 5, 2015

MUNGU NI MUNGU (GOD IS GOD) LYRICS BY CHRISTOPHER MWAHANGILA




Verse1
(Nabii Elijah, aliwaita manabii wote,
 wa mungu baali)x2
Lengo la elija,
 ilikuwa ni kumthibitisha mungu wa kweli ni yupi,
 kati ya mungu wa baali, na mungu wa mbinguni ,
(Elijah )x2, akawambia watu nikaribieni mimi
akachukua mawe kumi na mbili akaanza kujenga madhabau,
 akaweka kuni juu yake,
 akaweka sadaka juu yake,
akachimba mfereji ,
akawambia watu mwageni maji mapipa manne ,
wakamwaga maji mara ya kwanza ,
wakamwaga maji mara ya pili,
wakamwaga maji mara ya tatu ,
Elijah, akaanza kumuita mungu,
mungu wa mbinguni (we mungu )x2,
( mungu wa mbinguni naijulikane kuwa upo)x2
Moto ukashuka ,ukaramba ile sadaka,
ukaramba zile kuni ,ukaramba na yale mawe,
ukaramba na yale mavuno ,
ukaramba na yale maji ,watu wakasujudu,
 wakasema huyu ndiye mungu,
 anayepaswa kuabudiwa ,
ndiye mungu ninaye mwimbia mungu wa Elijah,


(Refrain)     
oooh mungu
( Mungu ni mungu tu,atabaki kuwa mungu tu)
Ooh mungu baba
Huyu mungu wa mbinguni jamani
Huyu mungu wa elijah
Maishani mwako mama yangu wee
Mahali pote unapotembea
Ata wainuke wamseme vibaya
Ata wamkatae mbele yako








Verse 2
Na wewe ndugu yangu,
 unayenisikia, unaye nitazama,
(unaona nini mbele yako)x2,
 pengine unaona  majaribu,
 haujui utafanya nini,
 we mkaribie mungu tu,
 pengine unaona magonjwa,
 haujui utapona lini we mkaribie mungu tu,
 pengine unaona vita kubwa,
 haujui utashinda vipi, we mkaribie mungu tu,
Pengine unaona watesi ,
haujui utapita vipi, we mkaribie mungu tu,
pengine ni jaribu katika ndoa yako,
haujui utashinda vipi,
 we mkaribie mungu tu ,
(hakuna linaloshidikana kwake mungu)x4

Aliyemshindia elijah ,
katikati manabii wa baali atakushindia
Na wewe …..
(Refrain)


Verse 3
Wanadamu wamekusemea maneno,
 kwamba hautaweza ,katika jaribu lako,
wanadamu wamekusemea maneno,
 kwamba hautashinda katika vita yako,
 kumbe( njia za mungu, sio sawa na za mwanadamu )x2
 mipango ya mungu ,sio sawa na ya mwanadamu,
 akili ya mungu, sio sawa na ya  mwanadamu
Maneno ya mungu, sio sawa na ya mwanadamu
Mawazo ya mungu, sio sawa na ya mwanadamu
Kazi ya mungu, sio sawa na ya mwanadamu
Sauti ya mungu ,sio sawa na ya mwanadamu
Aliye mshindia elijah ,
katikati ya manabii wa baali
atakushindia na wewe ……
(refrain)

Sunday, September 20, 2015

UTUKUFU NA HESHIMA LYRICS BY JOHN LISU

Utukufu na heshima –aa
zote ni zako wewe( wastahili- iix2)
Uliacha aa enzi yako na mamlaka yako mbinguni ukashuka kutukomboaa,wastahili-ii
(Wastahili) wewe bwana ,peke yako aah yesu
(Twakuinua)wewe bwana,aah yesu unaweza
(Unaweza) wewe bwana
aah yesu twa kupenda( twa-a-kupenda)wewe bwana
ahh yesu wastahili(wastahili) mwana kondoo
uliyechinjwa wastahili kupokea heshima na utukufu
nazo nguvu tunasema zote ni zako
(halleluyah)

UMENIFANYA IBADA LYRICS BY GLORIOUS WORSHIP

Refrain )

(Umenifanya ibada ,nikuabudu ,
umenipa kutumika chini ya pendo lako)x2
mamlaka na nguvu ninazo,
kufanya lolote utakalo,
mamlaka na nguvu ninazo
( maana we upo ndani yangu)x2)x3
Verse 1
(Umeniweka sirini mwako bwana aa,
nikujue zaidi ya fahamu zangu .uu.. )x2
  mamlaka na nguvu nina-aa-zo,
kufanya lolote utakalo,
mamlaka na nguvu ninazo
( maana we upo ndani yangu -uu)x2

( Refrain)x4

Nasema ndio   (ndio-oo)
Nasema ndio    ( wewe ni bwana)(ndio-oo)
Nasema ndio    (nimekubali kuwa wako)(ndio-oo)
Nasema ndio    (nimekubali kutumika)(ndio-oo)

Ni-na-sema ndio-oo, ndio,( bwa-aana)x6

Friday, September 18, 2015

TWAKUSIFU LYRICS BY JOHN LISU

Refrain
(Wakusifiwa, wakuabudiwa ni
 wewe tu mungu wa miungu)x3
verse 1
(Ooh ni wewe tu bwana mungu
 wa miungu) x2,
Ooh hakuna kama wewe bwana,
mungu wa miungu ni wewe tu
 mungu wa miungu,,eeh wastahili heshima
 na Sifa,mungu wa miungu ni wewe tu
 mungu wa miungu ,aah hakuna wewe
 bwana mungu wa miungu ni wewe tu
mungu wa miungu(halleluyah)

(Refrain)x2


Verse 2
Astahiliye heshima utukufu na nguvu
ni wewe tu mungu wa miungu ( refrain)
Eeh mamlaka ni yako heshima
 ni zako ni wewe  tu mungu mwenye nguvu(refrain)
(Ni wewe tu bwana mungu wa miungu)x2
Aah hakuna kama wewe bwana (mungu wa miungu)
Ni wewe tu mungu wa miungu
Wastahili heshima zote (mungu wa miungu)
Wewe bwana( mungu wa miungu)

(Twakusifu ,twakutukuza twakubariki,ewe bwana)x4
(eeh umetukuka ) x2
(eeh unastahili) x2
(eeh tuna kupenda --aa)x2
(eeh twakuinua )x2
(eeh twakubariki)x2
( eeh twakutukuza)x3

Tuesday, September 15, 2015

FUNGUA MACHO LYRICS BY JOHN LISU

[Verse1]
Mtakatifu, Ndiwe Mungu,
Jina lako, Ni takatifu,
Na moyo wangu, Utaziimba sifa,
Zako, Bwana

Kwa neema yako, Ninaishi,
Na wokovu wangu, ni wewe,
Ni wewe, yesu ,
Uliyeibeba dhambi, ukatupa
Maisha mapya
(kupitia msalaba, tumerejeshwa, ndani, ya nuru yako)x2

[Refrain]
Fungua macho, yangu nione,
Utukufu wako, Bwana,
Fungua macho, yangu nione,
Ajabu zako, na jina lako,  ooh
Ooh ooh aaah
Eeh eeh eeeh
Oooh aah aah
 [Verse 2]
[halleluya]
Haya ni maombi yangu Mungu wangu,
Ya kwamba ufungue macho yangu ya ndani
Nipate kuona, utukufu wa jina lako,
Nipate kuona, ajabu za jina lako,
Jehova nakuhitaji katika maisha yangu.
maana wewe ni kila kitu  katika maisha yangu,
(oooh)X3
Mwambie bwana afungue macho yako ya ndani, (oooh)X3
Ili upate kuona kile mungu anataka uone katika maisha yako
Kama Mungu alivyofungua macho yake Ngehazi (oooh)X3
Akaona walio upande wa bwana ni wengi
Kuliko walio  upande wa adui,
(oooh)X3 Na sisi tunatamani tuone ,katika macho yetu ya ndani
Mungu fungua macho yetu ya ndani ,na masikio yetu Ya ndani
(oooh)X3 tupate kujua yaliyo makusudi ya jina lako,yaliyo makusudi katika maisha yetu
Bwana haya ni maombi yetu ,ya kwamba ufungue macho yetu ya ndani,
tupate kuona bwana ooh halleluya

[verse 3]
Asanta  kwa kuwa unafungua macho yetu
Tupate kuona matendo makuu,
Asante kwa kuwa unabadilisha mataifa,
Na mataifa yatauona utukufu wako
Maana wewe ni mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana , halleluyah
(Fungua macho, yangu) x 2
(Fungua macho, yangu) x 4

Asante bwana kwa kufungua macho yangu,
Ninakushukuru nakubariki,
Kwa maana sitakuwa nilivyokuwa Baba
Unanipatia vitu sjawahi kuziona  katika maisha yangu
Wewe ni bwana wa mabwana

[Chorus]
Nione , utukufu wako X4
Jehova elshadai eloi tunakubariki Mungu wetu

Friday, September 11, 2015

NITAKUSHUKURU BWANA BY JOHN LISU


Nitakushukuru bwana kwa moyo wangu wote,umenitendea ah
Nitakusifu wewe, kwa matendo makuu, hakuna mwingine kama wewe  

[Chorus]
Nitakushukuru bwana kwa moyo wangu wote,umenitendea ah

Nitakusifu wewe, kwa matendo makuu, hakuna mwingine kama wewe  


Nikurudishie nini Bwana, kwa ukarimu wako ulionitendeaaa
Nitakipokea kikombe, cha wokovu wakoo,nakuzitangaza fadhili zako ,
Maana wewe wastahili, kusifiwaaa,hakuna mwingine aliye kama wewe  bwana.

[Chorus]


Wewe pekee ndiwe unastahili kusifiwa
Tunakupa shukurani uweza na nguvu,
Ni vyako mfalme wa wafalme,halleluyah

[chorus]


Pokeaa sifa, bwana wa mabwana, pokea sifa, wewe wastahili,]x6


Kwa nguvu zangu  zote,(Nitakusifu wewe),
 kwa akili zangu zote,(Nitakusifu wewe)
Na  Kwa nguvu zangu zote ,(Nitakusifu wewe)
Nitakusifu daima,(Nitakusifu wewe)
Na kwa mali zangu  zote ,(Nitakusifu wewe)
Na kwa akili zangu ,(Nitakusifu wewe)
Nitakusifu milele ,(Nitakusifu wewe)
Maana wewe wastahili sifaa,,(Nitakusifu wewe)
Nitakusifu daima ,(Nitakusifu wewe)
Nitakusifu milele,,(Nitakusifu wewe)
Nitakusifu daimaa ,(Nitakusifu wewe)
eeh wastahili sifa na heshima bwana ,
hakuna kama wewe aaah[ hallelujah]
wewe pekee wastahili mungu wetu,sifa heshima ni zako
,tunarudisha sifa na utukufu  mbele za kiti chako cha enzi,
ooh hakuna mwingine aliye kama wewe,


Sifa na heshima pokea bwana,
wewe wastahili utukufu na nguvu,mamlaka na sifa ,,Pokea bwanaa
wewe wastahili,utukufu na nguvu ,utukufu na heshima pokea bwanaa,
Wewe wastahili utukufu na nguvu,uweza mamlaka pokea bwanaa,
wewe wastahili utukufu na nguvu,Utukufu na sifa pokea bwanaa,
wewe wastahili utukufu na nguvu,

[Hallelujah]inua mikono yako juu,[ juu kwa bwana] x3

Yeye anastahili sifa, anastahili kusifiwa ,
ni bwana juu ya mabwana na mfalme juu ya wafalme
Aah,utukufu ni wako tu pekee , ,
na heshima ,ni zako tu pekee,
Mamlaka ni yako tu pekee,
utukufu ni wako tu pekee
na uwezaa,ni wako tu pekee,
[Tumsifu,tumtukuze ,anastahili,]x2
Eeh utukufu ,ni wako tu pekee ,nazo nguvu zote ni zako tu pekee,
Na heshimaa ni zako tu pekee[,tumusifu tumtukuze anastahili,]x2
Eeeh wewe ni bwanaa,hakuna mwingine aliye kama wewe,tunalibariki jina lako sifa na heshima
Ni zako bwana[ halleluyah]