Tuesday, April 7, 2015

SIKU ZA KILIO ZIMEPITA LYRICS BY AMBASSADORS OF CHRIST CHOIR RWANDA 2015








Sauti ilisikika mjini ramah,
Kilio na maombolezo mengi,
Reali akiwalilia watoto wake,
Lakini hakutaka kufarijiwa kwa kuwa hawapo tena

Bwana asema hebu zuia sauti yako, usilie mama,
Na macho yako, yasitoke machozi , tulia eeh jipe moyo.
Maana  kazi yako itapata dhawabu,
Na kwa nguvu mpya, nguvu mpya utainuliwa tena,

Wakati tulio nao, si wa kuomboleza tena,
Siku za kilio zimepita zimekwisha ,  aha
Sasa twasonga tena, mbele kwa kazi yake bwana,
Matukio kamwe hayatatukatisha tamaa ,
Na tutaweza yote,kwa jina lake mwenye nguvu,
Na kwa mkono wake yeye mwenyewe atatuongoza

Twatiwa nguvu kwa neno lake bwana mungu,
Asemapo baada ya hayo yote nitarejea,
Nami nitaijenga tena nyumba yake daudi ,iliyoanguka,
Nitajenga tena maanguko yake , nitaisimamisha,

Kwa ajili yake bwana twaweza kuuwawa mchana , usiku kucha,
Twahesabiwa kuwa kama kondoo wasubirio kuchinjwa,
Lakini katika mambo hayo yote tumeshinda na zaidi ya kushinda kwa yeye aliyetupenda jina lake lisifiwe milele,
Baada ya siku hizo za kupigwa vikali,
Kama alivyoahidi nguvu mpya, ametupatia tena

Wakati tulio nao, si wa kuomboleza tena,
Siku za kilio zimepita zimekwisha ,  aha
Sasa twasonga tena, mbele kwa kazi yake bwana,
Matukio kamwe hayatatukatisha tamaa ,
Na tutaweza yote,kwa jina lake mwenye nguvu,
Na kwa mkono wake yeye mwenyewe atatuongoza x3



8 comments:

Anonymous said...

thanks alot, please translate the hosiana song to kiswahili

Gospel Lyrics said...

Hey Anonymous 1,, Here is the translation in english http://gospellyr.blogspot.com/2015/05/hoziana-lyrics-and-translation.html

N.C 'Adia DE SOUZA said...

How can i Thank you enough for the lyrics of this amazing song! I may not understand Kirwanda, but my challenge to myself was and is still is, to sing along with this wonderful choir. You have made this possible. I know it will take me sometime to optimally follow along, especially because of the language structure and the fast pace of the song. But I also know that with God, all things are possible. How i love this song, and in fact, all the songs by the Ambassadors of Christ. Great Ambassadors they are. May the Lord continue to guide them and move them from strength to strength.

Unknown said...

oooh wow, i like this song and i thank the one shared this lyrics, thanks again
keep it up ambassadors of christ

Unknown said...

Indeed I like the song it gives me strength to ambassador be blessed all to share with us more spiritual in your songs amen

Unknown said...

Enter your comment...pls what is the meaning of the title of the song

Anonymous said...

Sorrowful days are gone, translate from Swahili to your language to understand better

Anonymous said...

Thank you and God bless.