Saturday, March 12, 2016

YESU ANAWEZA LYRICS BY PAPA DENNIS FT CHRISTINA SHUSHO



verse 1
mungu aliupenda ulimwengu,
akamtoa yesu ,tusiangamie,
nashangaa, mate walimtemea,
nashangaa,mijereti alipigwa bwana,
nashangaa ,taji ya miba alivishwa yesu
oye x4 ah oye
akasurubishwa ,akafa akazikwa,
siku ya tatu akafufuka yesu bwana wangu,
kwa kifo chake (kifo chake)
tumeokolewa (tumeokolewa),
husiteseke ,rudisha yote msalabani kwake,

(chorus)
bwana yesu anaweza ,
peleka shida msalabani kwake,
bwana yesu anatenda,
peleka shida msalabani kwake,

verse 2
bwana yesu ,anaweza,
peleka shida zako kwake,
bwana yesu, anatenda,
peleka shida zako kwake,
jina lake mwenye nguvu,tena msaada,
oh peleka shida zako kwake,
yeye kimbilio ,amejawa na huruma,
ah oh peleka shida zako kwake,

(chorus)x3

verse 3
ukikosa pesa ,ukikosa watoto ,
umuite bwana,ataitikia,
kwenye biashara zenu ,
mkimuita bwana,mkimuita yahweh,
ataitikia,halleluyah

(chorus)x3

No comments: