Showing posts with label ROSE MUHANDO. Show all posts
Showing posts with label ROSE MUHANDO. Show all posts

Tuesday, November 24, 2020

VICE -VERSA LYRICS BY SIZE 8 & ROSE MUHANDO



lalala lalala
lelele  lelele
imekwenda vice versa
(teddy B)

Nakushukuru mungu wee
ewe mungu wee
nakushukuru mungu wee
nimeona mkono wako

kama si wewe mungu wee
ewe mungu wee
kama si wewe mungu wee
singefika hapa nilipo

Nakushukuru mungu wee
ewe mungu wee
nakushukuru mungu wee
nimeona mkono wako

kama si wewe mungu wee
ewe mungu wee
kama si wewe mungu wee
singefika hapa nilipo

nilipopita kati ya uovuni
wa bonde la mauti na kuzimu
uliniona yesu
nilipopigwa na maadui
wakanishambulia
uliniona yesu

shetani aliposimama
ili anifanye mawindo
ulinificha yesu

marafiki zangu walitabiri
maanguko yangu
umeniinua yesu

wewe mwamba wangu
wewe nguvu yangu
we amani yangu
kimbilio langu
msaada wangu watosha
uhimidiwe yahweh

Nakushukuru mungu wee
ewe mungu wee
nakushukuru mungu wee
nimeona mkono wako

kama si wewe mungu wee
ewe mungu wee
kama si wewe mungu wee
singefika hapa nilipo

Nakushukuru mungu wee
ewe mungu wee
nakushukuru mungu wee
nimeona mkono wako

kama si wewe mungu wee
ewe mungu wee
kama si wewe mungu wee
singefika hapa nilipo

mbwa mwitu walipiga kelele
nikaziba masikio
nilikuona yesu
walipanga mipango ya uovu
ili niangamie
ukapangua yesu

mipango mawazo 
walionikusudia
wamepanga umepangua
imekwenda vice versa

mipango mawazo 
walionikusudia
wamepanga umepangua
imekwenda vice versa

tamaa ,vice versa
uongo ,vice versa
uchawi,vice versa
fitina ,vice versa
masengenyo ,vice versa
nimeshindaa

Nakushukuru mungu wee
ewe mungu wee
nakushukuru mungu wee
nimeona mkono wako

kama si wewe mungu wee
ewe mungu wee
kama si wewe mungu wee
singefika hapa nilipo

Nakushukuru mungu wee
ewe mungu wee
nakushukuru mungu wee
nimeona mkono wako

kama si wewe mungu wee
ewe mungu wee
kama si wewe mungu wee
singefika hapa nilipo

Monday, April 18, 2016

HAUTAKUMBUKA TENA LYRICS BY STEPHEN KASOLO FT. ROSE MUHANDO

(chorus)
shida zilizokukumba miaka nenda miaka rudi
hayo ni mapito tu hautakumbuka tenax2

verse 1 (rose muhando)
haijalishi umeishi kwa shetani miaka mingapi ,
mungu yuko pamoja nawe  hautakumbuka tena,
simama,jitie nguvu mikono yako
mungu yuko pamoja nawe  hautakumbuka tena,

verse 2 (kasolo)
mungu wetu ni mwaminifu ,
akisema atatenda atakutendea
na mapito yale unayopitia ,
hayo yatapita hautakumbuka tena

(chorus)

verse 3 (kasolo)
yeye mume wa wajane bwana, baba wa yatima bwana ,
ahadi zako bwana ni za milele,
nimeona kwa macho yangu akitenda bwana

(chorus)

mbele yako kuna mamba mbele yako kuna simba,
husirudi nyuma simama songa mbele,
oh mungu hasiyeshindwa atasimama pamoja nawe atakusaidia,
mwenzio miaka mingi umekataliwa ndugu,
hivi ndugu songa mbele hautakumbuka tena,
mipango ya mungu maishani mwetu ni ya fanaka,
husilia dada songa mbele,songa songa,

 (chorus)

wewex3 sirudi nyuma,hautalia tena,
husilie tena,hautakumbuka tena
eh hautakumbuka tena,
mateso yako yamefika mwisho
(hautasumbuka tena)
mahagaiko yamekwisha  
(hautasumbuka tena)
tulipotoka haturudi sisi
(hautasumbuka tena)
machozi hakuna 
(hautasumbuka tena)
yesu yuko atakupanguza machozi,
(hautasumbuka tena)
yuko kwa ajili yako (hautasumbuka tena)
hautasumbuka mama (hautasumbuka tena)
hautasumbuka baba (hautasumbuka tena)
akupenda bwana yesu ,(hautasumbuka tena)
husiliex3 (hautasumbuka tena)
mungu amesikia (hautasumbuka tena)


Friday, November 20, 2015

MAMA MKWE LYRICS BY ROSE MUHANDO

Verse1
Mbona nasikia kelele, kutoka  nyumba ya pili,
Nasikia mayowe  kutoka mtaa wa pili,
Sauti ya ukali sana ,ikisema maneno ya ajabu,
Mara mwanamke gani, mara ana sura baya,
Mara miguu kushoto mtupu,
 mara ana kicheko kibovu,

verse2
Katika shumaka ya  dirisha langu nalichungulia,
 nione kuliko nini,inaendelea nini,
niliyoyaona jameni we ni vigumu kusimulia,
kumbe mama mkwe ameleta balaaa eeh
jamani mama mkwe anatia aibu eeh
nasema mama mkwe amezua kizaazaa,

verse3
yanatutisha yanatutisha ,yanatuogopesha jamani,x2
tulio katika nje ya ndoa twaogopa kuingia,
maneno ya mama mkwe ni makali sana eeh,
mara ana sura baya ,
mara ana shape baya,mwanamke ana sura baya,
mwanamke ana shape baya,
hajui kuvaa viatu,
 mama mkwe ni mshamba mkubwa,aah
mama mkwe ana tabia baya ,
wewe mama mkwe ,unatia aibu

verse4
poleni wanandoa ( poleni)x2
nilioyasikia pia nataka kuyasimulia,
niliyoyaona kwa macho yangu ,lazima niwambie,
niliyoyasikia ya mama mkwe magumu kusimulia,
niliyoona kwa macho yangu we, lazima niwambie,
mama mkwe kizaazaa ,mama mkwe kizunguzungu,
mama mkwe kiherehere ,anatia aibu,

verse5
nataka nikuulize mama mkwe nisikilize,
tangu  ulipokuja mjini ,
kwenye ndoa ya mwanao,
hujageuza kisogo mama
kurudi kijijini kwa mumeo,
mama unataka nini mama mkwe,
mke mwana akinunuliwa kitenge mama mkwe unadai,
akinunuliwe kiatu,ata wewe unadai,
akitolewa out, mama mkwe unanuna,
akicheka na mumewe ,eti unatema mate,
mama unataka nini mama mkwe,
nauliza unataka nini ,kwenye ndoa ya mwanao,

verse6
upende husipende eeh,
mama mkwe lazima nikwambie nikwambie aah aah
imeandikwa ya kwamba atawaacha baba na mama,
ataambatana na mkewe watakua mwili mmoja,
na wewe umetoka wapi mama mkwe,
nakuuliza umetoka wapi mama mkwe,
eti wewe umetoka wapi mama mkwe,
mbona mama kizaazaa,
 mama mkwe kizunguzungu,
mbona mama tafrani,
mama mkwe kiherehere,
mama mkwe kizaazaa unatia aibu wee,

verse7
ulipoona imeshidikana kuachanisha ndoa ya mwanao,
ukatafuta mbinu mpya ili ung’oe ndoa ya mwanao,
ukaenda kwa waganga , ndoa ya mwanao ivunjike,
mara akasema hivi,naye mwisho umefika ,
hivi mama unataka nini mama mkwe ,
mama mbona una mateso mama mkwe,
mbona unaitesa sana ndoa ya mwanao,
akaoe nani,akampende nani,x2
ata kama angepaa mbinguni aoe malaika,
ata kama angepanda  mbinguni akaoe malaika,
ulivyo na tabia yako lazima ungemtoa kasoro,
mama mkwe una tabia baya ,mama mkwe eeh,
mama mkwe jirekebishe unatia aibu,

verse8
siku nyingi nimesikia makelele kwa wanandoa ,
lakini chanzo ,ni wewe mama mkwe,
lakini taabu ni wewe mama mkwe,
nasema tafrani,ni wewe mama mkwe,
kuvunjika ndoa za watoto wenu
tatizo ni mama mkwe,
mama jirekebishe mama mkwe,
nasema jirekebishe unatia aibu,
message sent ukidelete ujumbe umefika,

(aibu we )x3
unatia aibu  x6

TUA MIZIGO LYRICS BY ROSE MUHANDO





(Refrain)
Ai u(Mpe )x4 yesu  (mpe )x2

Verse1
Mpe mizigo ya dhambi zako  yesu mpe (mpe)
Magonjwa yamekushinda mpe yesu mpe (mpe)
Watu wako wanakusumbua mpe yesu mpe (mpe)
Ndoa inayumbayumba mpe yesu mpe (mpe)
Watoto wanakushinda mpe yesu mpe (mpe)
Kazini hauna amani mpe yesu mpe (mpe)
Jirani ana kidomodomo mpe yesu mpe (mpe)
Umaskini kama umekuwa mzigo mpe yesu mpe (mpe)
Wachumba wana kudanganya mpe yesu mpe (mpe)

Verse2
Mpe yesu we (mpe)x4
Ukimkuta njiani, (mpe)
Mpe yesu we eh (mpe)
Ukimkuta barabarani (mpe)
Mpe yesu we eeh(mpe)
Ukiingia kanisani (mpe)
Mpe yesu we eh (mpe)
wachaa kuzuazua na mizigo yako (mpe)
Mpe yesu mama (mpe)
Wacha kutangatanga na shida zako (mpe)
Mpe yesu wee (mpe)
Stress za nini mpe yesu ,mpe yesu we (mpe)
(Refrain)

Verse3
Ale (peleka)x21
(peleka)x8( ayaa )x7,
Peleka kwa yesux5
Pelekax3
Aah tua,x2 mzigo tua,(tuax7),
Tua mzigo,


Verse4
Peleka mzigo peleka mzigo peleka husiache,
Peleka magonjwa peleka taabu peleka kwa yesu,
Mzigo wa dhambi (peleka),
Peleka kwa yesu (peleka)
Uchawi wa mavuno(peleka )
Peleka kwa yesu(peleka)
mizigo ya mifuko (peleka)
peleka kwa yesu (peleka)
ukahaba ulio *kubugu* (peleka)
peleka kwa yesu (peleka)
peleka nyumba dogo (peleka)
peleka kwa yesu (peleka)
wambea na visavisavina wote (peleka)
wasiopenda maendeleo ya watu wote,
peleka kwa yesu

verse5
pelekax7
aya x7

peleka kwa yesu(tua mzigo)
peleka kwa yesu(kinundu mgongo)
peleka kwa yesu(jicho kono)
peleka kwa yesu(nyumba dogo)
peleka kwa yesu (ayaa yaa yaaa)
(tua)x7,tua mzigo,mzigo wa dhambi,(tua mzigo)
Wa ukahaba,(tua mzigo),mwenzangu (tua mzigo)
Wa uchawi wee,


Verse6
twende x2 twendeni kwa yesu (twende)
akina mama (twende)
kwa yesu kuna raha (twende)
twende kwa yesu (twende)
tupeleke laana (twende)
twende kwa yesu (twende)
Baraka tele tele (twende)
twende kwa yesu (twende)
eeh mlima wa moto (twende)
twende kwa yesu (twende)
kwa yesu kuna raha (twende)
twende kwa yesu (twende)
hakuna masengenyo (twende)
twende kwa yesu (twende)
uchawi hakuna (twende)
twende kwa yesu (twende)
kurogwa hakuna (twende)
twende kwa yesu (twende)
ah imbeni twendeni (twende)
Twende kwa yesu (twende)
Tutapata raha (twende)
Twende kwa yesu (twende)
Kusemwa hakuna (twende)
Twende kwa yesu (twende)
Baraka teletele (twende)
Twende kwa yesu (twende)
Kuna raha na uzima (twende)
Twende kwa yesu (twende)
Hakuna mateso (twende)
Twende kwa yesu (twende)
 Tutafurahi daima milele (twende)
Twende kwa yesu (twende)
Tutarukaruka kama dama (twende)
Twende kwa yesu (twende)

(Jamani twendeni (twende)
Twende kwa yesu (twende))x2

Ahh imbeni twendeni (twende)
Twende kwa yesu (twende)

(tua)x5 tua mzigo.

Tuesday, September 15, 2015

OLOMAIYIAN LYRICS BY LJAY MAASAI FEAT ROSE MUHANDO


 (If you are a Maasai Kindly correct the lyrics by commenting below)                                                                                            

L-jay Maasai olomaiyana hivi Rose muhando na……. 
Maasai *temaragananolomaiyiana…

*Pigiani *tuigirorie, wanasema wamaasai,
Sema sema mpweke hakosi, *minigoko nikwambie
Kwa magoti nimeomba nimesali amina;
nikangoja kwa imani ,Baba anibariki na,                                                         
tena baba nimeomba nimesali amina,
Nikangoja kwa imani Baba anibariki na,
wakanisema sana ati kamoda nanu,,,
ati wokovu wangu wanaona haufai
Wakisema wale leo kwa magoti omba amina,
liwe walesema leo ,baba anibariki na, 


Akisema atakubariki nani atakaye kulaani, 
Akisema atakuinua nani atakaye kushusha,
aah *namaragananolomaiyiano,,,,maasai *temaragananolomaiyiano aah

[Refrain]


Kara nanu Olomayiana, Lomayiana
Kara nanu Olomayiana , Lomayiana
Kara nanu X3 lomaiyiana
Kara nanu X3 lomaiyiana

Verse 2
Mungu ni mungu ni mungu wala hafananishwi
Nasema mungu ni mungu pekee
yake hakuna mwingine
akisema atabariki mmaasai atabariki tu,
akisema anainua mkikuyu atanainua tu,
hakuna wala maswali wala majibu atainua tu,
akisema nitafanya jambo lazima afanyage,
akisema nitafanya kwa huyu lazima atafanyaga                                                                           
haijalishi mfupi mnene mwembamba lazima atafanyaga,
haijalishi wanapenda hawapendi lazima atafanyage ,
akisema anainua mjaluo yeye atainua tu
[mungu ni mungu yeye wala hakuna mwingine ah]x2


Wakisema wale leo kwa magoti omba amina,
liwe walesema leo ,baba anibariki na,
Akisema atakubariki nani atakaye kulaani, 
Akisema atakuinua nani atakaye kushusha,
aah *namaragananolomaiyiano,,,,maasai *temaragananolomaiyiano aah

[refrain] twice